Adha Ponda dada wa marehemu akiangua kilio
Eneo la Msiba muuda huu

Gari la marehemu likifunikwa baada ya ajali jana usiku

Canter ambayo gari la marehemu liliigonga

Gari la marehemu GX 100 baada ya ajali

Gari la marehemu kwa nyuma

Marehemu Katoto enzi za uhai wake.
NA DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO
MUDA
huu mtandao huu umefanikiwa kuzungumza na mdogo wa marehemu Bw Hashimu
Ponda ambaye amezungumzia kifo cha kaka yake kwa kuseme.
"Kaka baada
ya kutoka nyumbani kwa mama akiwa njia kuelekea nyumbani kwake Kihonda
alipata ajari eneo la kona ya Polster Klabu kihonda maghorofani chaajbu
baada ya gari lake kupindukan liliangukia kwenye matofari na baadae
kwenye kifusi cha mchanga ambacho kilimrifti kaka hadi juu ya Canter
iliyosimama na kufika hoko kaka alichomoka kupitia kioo cha mbele hadi
juu ya nyaya za umeme na kuangua kicha akiwa tayari alishakufa"alisema
Hashim ambaye pia ni dereva wa kiwanda cha nguo cha Polyester.
Post a Comment