Vanessa anatarajia kurelease wimbo mpya 13th June

blogger-image-491657307
Mwanadada Vanessa Mdee siku ya Ijumaa tarehe 13 anatarajia kuachia pini jingine alilolipa jina la HAWA JUI, Vanessa amesema wimbo huo umetengenezwa na Produced mkali kutoka Bongo anaitwa NAHREEL. Mashabiki wa Vanessa mkae mkao wa kupata ladha nyingine mpya kabisa.

Post a Comment

أحدث أقدم