AJALI NYINGINE TENA YA MABASI YATOKEA, MUHEZA - TANGA

Pichani ni mabasi mawili ya Simba Mtoto na Dar Express yakiwa yamegongana uso kwa uso maeneo ya Muheza Mkoani Tanga mchana huu.haijafahamika ni abiria wangapi wamedhulika kwenye ajali hii.Chanzo cha ajali pia bado hakijafahamika na Globu ya Jamii inaendelea na juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga kwa taarifa zaidi.hivyo tuendelee kuvuta subira.

Post a Comment

أحدث أقدم