KOCHA WA AZAM FC ABWAGA MANYANGA.


Aliyekuwa Kocha mkuu wa Azam Acadamy Vivik Nagul amepata timu ya ligi kuu India.
Ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu Azam FC ipoteze mchezo wa ngao ya Jamii mbele ya Yanga kwa kipigo cha bao 3-0, Kocha mkuu wa Azam Academy Vivik Nagul ameachana na wanalamba lamba hao na kutimkia India kuinoa klabu ya ligi kuu.
Akizungumza na mwandishi wetu Afisa habari wa Azam FC Jafari Idd Maganga amesema __ Bofya Hapa kusoma zaidi

Post a Comment

أحدث أقدم