MECHI YA SIMBA NA YANGA OKTOBA 12 YAPEPERUKA - TFF yapangua ratiba



TIMU ya taifa – Taifa Stars imesogeza mbele mechi ya watani wa jadi – Simba na Yanga kufuatia kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA)  ambayo itaikutanisha Stars na Benin Oktoba 12.
Awali tarehe hiyo ndiyo ilikuwa imepangwa kwaajili ya mechi ya Simba na Yanga kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, lakini badala yake sasa Soma Zaidi Hapa

Post a Comment

أحدث أقدم