NEWS: POLISI WA WILI WAJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA KITU KINACHOSEMEKANA NI BOMU

Askari polisi waliokuwa katika doria maeneo ya mtaa wa Mabatini Songea Mjini wamenusurika kufa baada ya kurushiwa kitu kinachosemekana ni bomu la kutengenezwa kwa mkono majira ya saa 2 usiku huu  mmoja akiwa ni wa kiume na mwingine akiwa ni wakike. Tarifa kamili tutawaletea endelea kufatilia 
Chanzo: demasho.com

Post a Comment

أحدث أقدم