Mshindi
wa Miss Lake Zone 2014 Rachael Clavery (katikati) akila pozi katika
picha ya ukumbusho na mshindi wa pili Mary Emanuel( kulia) na Mshindi wa
tatu Nikole Sarakikya ( kushoto).
Rachael
amejinyakulia zawadi nono ya Gari la millioni 10 katika uwanja wa CCM
Kirumba Jijini Mwanza usiku huu. Shindano hilo lilikuwa na Walimbwende
18 wote wakichuana vikali na kila mmoja akitaka ashinde kabla ya Rachael
Clavery kuwafunika wenzake na kuibuka na ushindi.
Warembo wote 18 jukwaani
Vazi la ufunguzi..warembo wote 18 walipanda jukwaani
Warembo
waliopanda jukwaani ni Mikoa yao kwenye mabano ni Moshy Shaban: Doreen
Robert; Christina Jilulu (Mwanza): Nikole Sarakikya, Mary Emanuel na
Rachael Julika (Shinyanga).
Wengine
ni Faudhia Haruna, Jackline Kimambo na Christina John (Kagera), huku
Nyangi Warioba: Cecilia Kibada na Everlyn Charles (Simiyu). Wamo pia
Martina John: Elinaja Nnko, Winfrida Nashon (Mara)huku Rose Msuya,
Rachael Clavery na Faridha Ramadhani wakiwakilisha mkoa wa Geita.
Post a Comment