
Meza Kuu ya viongozi wa Chadema kabla ya mkutano kuanza.
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akiwapungia mkono wajumbe wa mkutano mkuu.

Viongozi wa Chadema wakati wakiwasili katika uchaguzi mkuu wa Chadema.

Wajumbe wa Chadema wakiwa ndani ya Ukumbi wa Mlimani City kwa ajili ya uchaguzi mkuu.


****
UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa
kumpata mwenyekiti na makamu wenyeviti wake watakaokiongoza chama hicho
kwa miaka mitano umeanza katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es
Salaam.
إرسال تعليق