Ujauzito wa rapper Witness umeharibika na kupoteza mapacha aliokuwa anatarajia kuwapata.

Akiongea na East Africa Radio, Witness ambaye ni mke wa mwanamuziki
Ochu, amesema bado hajajua chanzo cha tatizo hilo. “Naendelea tu vizuri
and I am just trying to be stronger. Sasa hivi ndio nimepata kidogo
strength hata ya kuwaambia watu,” rapper huyo amekiambia kipindi cha
Power Jams, Jumatatu hii.
“It was Friday and they were twins lakini I just don’t want to talk
about it sababu bado sababu haijafahamika, so I am still checking some
vipimo,” aliongeza.
Hiyo ni mara ya pili Witness kupata tatizo hilo.
Post a Comment