Wapata hasara kwa kuficha fedha kienyeji zikatoboka

Pamoja na Wananchi kutakiwa kuweka fedha zao benki, bado kuna Wananchi wana tabia ya kuweka fedha katika mazingira yasio salama. Pichani ni baadhi ya fedha zilizoharibika kwa kuwekwa katika mazingira yasio salama huko Kisiwani Pemba. (picha: Benki ya PBZ via ZanziNews)

Post a Comment

أحدث أقدم