Mkuu wa Idara ya Fedha na Utawala wa Necta, Daniel Mafie, akizungumza jambo na wanahabari (hawapo pichani).Sehemu ya taarifa ya kazi za Necta.
BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) leo limetoa
taarifa ya kazi zake kwa umma wakati Katibu Mtendaji wake, Dkt Charles
Msonde, alipokutana na wanahabari jijini Dar es Salaam.(Habari/Picha na: Gabriel Ng’osha/GPL)
Post a Comment