CCM yatoa pongezi kwa Bunge Maalum la Katiba - Audio


10
 Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ambacho kimemalizika jana mjini Dodoma na kutoka na mazimio ya kupitisha sera ya chama kujiendesha kiuchumi na kuondokana na utegemezi wa ruzuku ya serikali.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula akiandika baadhi ya mambo muhimu ya kufafanua katika suala la maadili ndani ya Chama.
Dk.Asha-Rose Migiro akizungumzia mambo mbali mbali yanayohusiana na siasa na mahusiano ya kimataifa kwenye kikao cha NEC kilichomalizika jana tarehe 17 Oktoba 2014, mjini Dodoma 

Post a Comment

Previous Post Next Post