Mjumbe wa Jimbo la Wawi Pemba Mhe Saleh Nassor Juma akichangia wakati wa
mkutano wa baraza la wawakilishi kuchsangia miswada iliowakilishwa
katika kikao hicho.
Wajumbe wakifuatilia michango ya Wajumbe wa Baraza wakati wa kuchangia miswada hiyo leo asubuhi.
Mwakilishi wa jimbo la kiembesamaki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akichangia
MWAKILISHI
wa Jimbo la Mkwajuni Zanzibar Mhe Mbarouk Wadi Mussa Mtando, akisisitiza jambo na Wawakilishi wa
katikati Mwakilishi wa (Tumbe) Mhe. Rufai Said Rufai na Mhe Salim Abdallah
Hamad (Mtambwe)wakiwa nje ya ukumbi wa
mkutano baada ya kuchangia mswaada uliowakilishwa katika kikao hicho
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe. Said Hassan Said, akibadilishana
mawazo na Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar Mhe. Abubakar Khamis
Bakary, wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano baada ya kuahirishwa kwa kikao
cha asubuhi kwa mapumziko mafupi.
Mwakilishi wa jimbo la Mpendae Mhe Mohammed Said Dimwa akisisitiza
jambio na Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo Mhe Nassor Salim Jazira wakiwa
nje ya ukumbi wa mkutano baada ya kuahirishwa kwa kikao cha asubuhi kwa
mapumziko mafupi.
Mwakilishi wa Jimbo la Muembemakumbi Mhe, Machano Othman, akizungumza na
na kubadilishana mawazo na Mwakilishi wa Bububu Mhe HGusein Makungu
Bhaa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ofisi ya Rais na Tawala za Mikoa Mhe.
Joseph Meza wakimsikiliza Mhe Machona wakiwa nje ya ukumbi wa Baraza
baada ya kupitisha Mswaada wa Wizara hiyo.
Post a Comment