Kutoka Baraza la Wawakilishi leo

        Wajumbe wakiupitia mswadwa wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa baraza la wawakilishi
Mjumbe wa Jimbo la Wawi Pemba Mhe Saleh Nassor Juma akichangia wakati wa mkutano wa baraza la wawakilishi kuchsangia miswada iliowakilishwa katika kikao hicho.
Wajumbe wakifuatilia michango ya Wajumbe wa Baraza wakati wa kuchangia miswada hiyo leo asubuhi.
             Mwakilishi wa jimbo la kiembesamaki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akichangia
MWAKILISHI wa Jimbo la Mkwajuni Zanzibar Mhe Mbarouk Wadi Mussa  Mtando, akisisitiza jambo na Wawakilishi wa katikati Mwakilishi wa (Tumbe) Mhe. Rufai Said Rufai na Mhe Salim Abdallah Hamad (Mtambwe)wakiwa nje ya ukumbi wa  mkutano baada ya kuchangia mswaada uliowakilishwa katika kikao hicho 

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe. Said Hassan Said, akibadilishana mawazo na Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar Mhe. Abubakar Khamis Bakary, wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano baada ya kuahirishwa kwa kikao cha asubuhi kwa mapumziko mafupi. 
Mwakilishi wa jimbo la Mpendae Mhe Mohammed Said Dimwa akisisitiza jambio na Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo Mhe Nassor Salim Jazira wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano baada ya kuahirishwa kwa kikao cha asubuhi kwa mapumziko mafupi.
Mwakilishi wa Jimbo la Muembemakumbi Mhe, Machano Othman, akizungumza na na kubadilishana mawazo na Mwakilishi wa Bububu Mhe HGusein Makungu Bhaa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ofisi ya Rais na Tawala za Mikoa Mhe. Joseph Meza wakimsikiliza Mhe Machona wakiwa nje ya ukumbi wa Baraza baada ya kupitisha Mswaada wa Wizara hiyo.

Post a Comment

Previous Post Next Post