Mtawa mwimbaji atoa kibao

Mtawa Cristina lishinda shindnao la Voise makala yaliyofanyw Italia mwaka jana
Mwimbaji mtawa aliyeshinda tuzo la The voice la Italia atoa wimbo mpya unaofanana na ule wa mwimbaji mtajika wa Marekani Madonna kwa jina 'Like a Virgin'.
Mtawa Cristina Scuccia, ambaye alishinda katika mashindano ya uimbaji hapo juni amesema alijichagulia wimbo huo mwenyewe " bila nia ya kuzua gumzo ama kushangaza", lakini amesema pia yuko tayari kukosolewa.
"Ni wimbo unaohusu uwezo wa upendo wa kuwabadilisha watu kuwa wapya. Kuwakomboa kutoka kwa yaliyopita. Na hivyo ndivyo nilivyotaka kuutafsiri," aliliambia gazeti moja la kikatoliki la Avvenire.BBC

Post a Comment

Previous Post Next Post