Wadau mbalimbali wa muziki nchini leo wamepata fursa ya kusikia
mawaidha kutoka kwa maneja wa msanii wa muziki kutoka Marekani, T.I.,
Jason Geter na kuzungumza na wadau wa muziki mbinu mbalimbali ili
kuuinua muziki wa Tanzania.

Meneja wa T.I. Jason Geter akizungumza na wadau wa muziki Dar
Semina hiyo iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali wa muziki wakiwemo wasanii, ilifanyika katika ukumbi wa Little Theater, jijini Dar Es Salaam. Tazama Picha

Meza kuu ya wasemaji wa semina hiyo

P.Funk Majani akiwa na Jason Geter katika semina ya fursa

Aneth Kushaba wa Skylight Band akiulizwa swali

Cpwaa

Geter akifafanua jambo

Kalala Junior akifuatilia semina kwa makini

Lamar akiwa na Cpwaa

Linah akiteta jambo na mdau wakati wa semina

Mabeste akiwa na mama watoto wake

Mmoja wa watu waliokuja na msafara wa T.I.

Meneja wa Mabeste ambaye pia ni mama watoto wake, Lisa akizungumza ndani ya semina ya fursa

P.Funk Majani Jason Geter katika semina ya fursa

Witness akiwa na Abdu Kiba

Abdul Kiba akiwa na maneja Jason Geter

Cpwaa na Geter

Daudi wa Kota akiwa na Jason na DJ wa T.I.

G.Nako akiwa na Jason Geter

Jason Geter na mwimbaji wa Skylight band, Joniko Flower

Jason Geter na Linah

Jason Geter na Witness

Lamar na Jason Geter

Mabeste akiwa na Jason Geter

Mapacha wakiwa na Jason Geter

Mwemba akiwa na Jason Geter


Recho na Jason Geter

Shilole na Jason Geter pamoja na DJ wake
Post a Comment