Mapigano
yaliyoanza Desemba iliyopita, na ambayo yamesababisha vifo vya maelfu
ya watu, yamechangia raia wengi wa Sudan Kusini kupata magonjwa ya
akili.
Katika nchi yenye idadi ya watu milioni kumi, kuna madaktari wawili tu ambao ni wataalamu wa magonjwa ya akili. Maryam Dodo Abdallah ana maelezo zaidi.
Post a Comment