Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na kupiga picha ya pamoja na na
viongozi wa Bendi ya Msondo ngoma Ikulu jijini Dar es Salaam leo
mchana.Viongozi hao walimtembelea Rais Kikwete kufanya naye mazungumzo
kuhusu masuala mbalimbali ya tasnia ya muziki nchini. Bendi hiyo kongwe
imetimiza miaka 50 mwezi huu. Picha na Freddy Maro
Post a Comment