Baada ya Skendo ya Picha Za Utupu Msanii Desire Luzinda aachia video mpya ‘Ekitone’ - Itazame Hapa


Muimbaji wa Uganda Desire Luzinda ameachia video mpya ya wimbo wake uitwao ‘Ekitone’, ikiwa ni ishara sasa amerejea katika maisha yake ya kawaida na kazi zake za muziki zinaendelea baada ya kutikiswa na kashfa ya kuvuja kwa picha zake za utupu hivi karibuni.

Luzinda ameshare video hiyo kwenye ukurasa wake wa Facebook na kuandika “EKITONE video finally out. Hope its gonna make u scream.” Itazame hapa.

Post a Comment

Previous Post Next Post