Shindano la Big Brother Africa limechukua sura mpya baada ya
washiriki wa zamani wa shindano hilo kuingia mjengoni na kuwa housemates
wa Hotshots.

Hatua hiyo iliwashangaza housemates wa sasa huku mashabiki wakidai kuwa Big hajawatendea haki hasa kwakuwa nao pia watawania fedha hizo.

Hatua hiyo iliwashangaza housemates wa sasa huku mashabiki wakidai kuwa Big hajawatendea haki hasa kwakuwa nao pia watawania fedha hizo.
Housemates are shocked when Biggie announces that 10 former #BigBroAfrica housemates will be competing with them. #BBHotshots
— Big Brother Africa (@BigBroAfrica) November 16, 2014
Washiriki hao wa zamani waliorejea kwenye mjengo huo ni pamoja na
Feza Kessy, Miss P wa Botswana, Miss_Vimbai wa Malawi, Luclay wa Afrika
Kusini, Uti wa Nigeria, Elikem wa Ghana, Sulu wa Zambia, Leone wa
Zimbabwe na Uganda ni Denzel.
Post a Comment