Ajali
ya wafuasi wanaokwenda katika mkutano wa CUF Nungwi ajali hilo imetokea
ktk daraja la Kitipe. Dereva kaumia sana miguuni. Allah awavue hili na
jengine
Kwa niaba ya Mzalendo Net napenda kutoa pole kwa wote waliofikwa na
maafa, na wale walioumia Allah awape shifaaa ya karibu in shaa Allah,
ameen ya rabbal alameen.
Post a Comment