Nusu
ya fainali ya kwanza ya mashindano ya DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP
imepigwa hapo jana kwenye uwanja wa Bandari maeneo ya Tandika Mwembe
Yanga kati ya Tabata FC na Black Six,mchezo ulimalizika kwa tabata
kushinda bao 1-0 na kukata tiketi ya kucheza fainali hapo tarehe
29/11/2014 kwenye uwanja huo huo wa Bandari.mchezo huo uliweka rekodi ya
mashindano ya NDONDO kwa kuhudhuliwa na mashabiki wengi.
Mashabiki wa BLACK SIX ya Buguruni..........
Mshambuliaji wa YANGA Jerry Tegete alikuwa anaongoza mashambulizi ya timu yake ya nyumbani TABATA FC.......
Mkurugenzi
wa vipindi na uzalishaji wa Clouds Media Group Bwana Ruge
Mutahaba,Fauzia Abdi pamoja na Ibrahim Masoud 'Maestro' walikuwepo
kushuhudia mpambano huo.....
![10553574_836086276455319_1176921432347220072_n](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/10553574_836086276455319_1176921432347220072_n.jpg)
![1960140_836086329788647_6126915949753505475_n](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/1960140_836086329788647_6126915949753505475_n.jpg)
![10350425_836086403121973_4713464705511470346_n](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/10350425_836086403121973_4713464705511470346_n.jpg)
![10382399_836086466455300_4570599094018049969_o](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/10382399_836086466455300_4570599094018049969_o.jpg)
Nyomiiiii.....
Mpambano kati ya Tabata FC na Black Six ukiendelea kwenye uwanja wa BANDARI maeneo ya Tandika Mwembe YANGA ukiendelea......
![10408076_836086479788632_905767488845041078_n](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/10408076_836086479788632_905767488845041078_n.jpg)
إرسال تعليق