Na Mathias Canal
PSPF
yachangia bati 200 zenye geji 28, Wilayani Kilolo kwa ajili ya kuchochea
ujenzi wa maabara kabla ya muda kwisha ulioagizwa na JK.
Bati hizo
zimekabidhiwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Gerald Guninita kutoka kwa
Amelia Rweyimamu ambaye ni Muwakilishi wa PSPF makao makuu Dar es
salaam
Post a Comment