WASHIRIKI wa semina ya siku moja juu ya
mazingatio ya uwezo wa kisiwa cha Pemba kupokea watalii, semina ilioandaliwa na
hoteli ya Manta resort ya Makangaale na Kamisheni ya Utalii, ambapo ilifanyika
ukumbi wa Weni Wete na kufunguliwa na waziri wa habari Zanzibar Mhe: Said Ali
Mbarouk (picha Haji Nassor, Pemba)
MENEJA wa hoteli ya Manta resort ya
Makangaale Micheweni Pemba Mathew Saus, akiwasilisha mada juu uwezo wa kisiwa
cha Pemba kupokea watalii, kwenye semina ilioandaliwa na hoteli hiyo kwa pamoja
na Kamisheni ya Utalii ambayo ilifanyika ukumbi wa mikutano Weni Wete Pemba (picha na Haji Nassor, Pemba)
MKURUGENZI
mkaazi wa ZIPA Pemba, Fadhila Hassan Abdalla akichangia mada juu ya maeneo
yaliotengwa kisiwani Pemba kwa ajili ya utalii, kwenye semina iliofanyika
ukumbi wa mikutano Weni Wete Pemba (picha
na Haji Nassor, Pemba)
إرسال تعليق