Siku ya 56 ripoti ikufikie kutoka ndani
ya jumba la Big Brother Africa #BBA9_Hotshots kwamba leo kuna washiriki
wengine wawili waliotoka, ulikuwa mbali na TV yako usiku wa tukio hili?
Goitse mshiriki wa kutoka Botswana, Ellah mwakilishi kutoka Uganda, Sheillah mwakilishi wa Botswana na Trezagah kutoka Msumbiji leo Novemba 30 ndiyo washiriki walioaga kutoka ndani ya jumba hilo
Idadi ya washiriki waliobakia ni
washiriki nane tu, akiwemo Idris kutoka Tanzania na kwa mujibu wa
ukurasa wa Big Brother kwenye Twitter matumaini yaliyopo kwamba ikiwa
msimamo wa kura ukiendelea poa kama hali ilivyo huenda neema ikawa kwa
mshiriki huyo akarudi na ushindi.
Post a Comment