Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ)Mhe, Abrahaman
Mwinyi jumbe, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Bodi hiyo, baada ya
kuchaguliwa tena kuongoza bodi hiyo kwa kipindi cha miaka mitatu
ijayo.kulia Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee.
Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee. akihutubia Wajumbe wa
Bodi ya Benki ya Watu wa Zanzibar na Maofisa wa PBZ wakati wa uzinduzi
wa Bodi Mpya uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Grand Palace Malindi
Zanzibar.
Wajumbe wa Bodi ya Benki ya Watu wa Zanzibar wakimsikiliza Waziri wa
Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akizunduac Bodi hiyo baada ya
kuteuliwa tena hivi karibuni.
Wakurugenzi wa Benki ya Watu wa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Waziri
wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee, akihutubia wakati wa uzinduzi
wa Bodi hiyo uliofanyika ukumbi wa hoteli ya grand palace malindi
Zanzibar.
Wakuu wa PBZ wakifuatilia uzinduzi wa Bodi yao Benki yao na Waziri wa
Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee, uliofanywa katika ukumbi wa hoteli
ya grand palace malindi zanzibar.
Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee, akimkabidhi Mwenyekiti
wa Bodi ya Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ)Mhe. Abdurahaman Mwinyijumbe,
vitendea kazi vya Bodi baada ya kuizindua rasmin Bodi hiyo katika ukumbi
wa hoteli ya grand palace malindi zanzibar.
Waheshimiwa wakiitikia dua baada ya hafla ya uzinduzi wa Bodi Mpya ya
Benki ya Watu wa Zanzibar uliofanyika katika ukumbi wa Grand Palace
Malindi Zanzibar.
Wajumbe wa Bodi wakiitikia dua iliokuwa ikisomwa na Dk Hafidh baada ya
uzinduzi wa Bodi hiyo uliofanywa na Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar
Yussuf Mzee
Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee akiwa katika picha ya
pamoja na Wajumbe wa Bodi Mpya ya Benki ya Watu wa Zanzibar PBZ baada ya
kuizinduwa katika ukumbi wa hoteli ya Grand Palace Malindi Zanzibar,
Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee, akiwa katika picha ya
pamoja na Bodi na Wakurugenzi wa PBZ baada ya uzinduzi wa Bodi hiyo
uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Grand Palace Malindi Zanzibar.
Post a Comment