![]() |
Kundi la
watu wasio fahamika wamelifukua kaburi moja Wilayani Kibondo na kufanikiwa
kufungua sanduku la Marehemu upande wa kichwani na kulitelekeza kaburini.
|
Akizungumza
Katika tukio hilo Mwakilishi wa Jeshi la Polisi Wilayani Kibondo Inspecto. Peter
Makala amemtaja marehemu kuwa ni
Merania Mankanga Kikoko anayekadiliwa
kuwa na umri wa miaka 83 Makazi wa Kijiji cha Bitale.
Tukio hilo
limetukia November 28 mwaka huu majira ya saa 11:00 asubuhi ambapo ndugu wa
marehemu walio chelewa zoezi la Mazishi
walipokwenda kutembelea kaburi hilo katika eneo la Makaburi ya MaLagarasi ,kIsha
Walikuta kaburi likiwa limefukuliwa.

![]() |
CDT...kibondomotoblog
|



إرسال تعليق