PICHA NA TAARIFA KUTOKA OFISI YA RAIS,TUME YA MIPANGO:KAGERA KUJIVUNIA UWANJA WA NDEGE WA KISASA

 
 Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipangoimu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ikiendelea na kazi ya ukaguzi wa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba.
 Ujenzi unaendelea! Mafundi wakiendelea na ujenzi wa jengo la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kagera.
Pichani ni muonekano mpya wa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba.

Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakiwasili kwenye Kiwanja cha Ndege cha Kagera kujionea maendeleo ya Mradi wa Upanuzi wa Kiwanja hicho. Waliotangulia mbele ni Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri (Kushoto), Meneja Mradi wa Upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba, Mhandisi Suleiman Athuman (Katikati) na Meneja wa kiwanja hicho, Bw. Julius Mulungwana (Kulia).
 Wahandisi Pius Gobolo (kushoto), (Mhandisi Mshauri wa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba) na Suleiman Athuman (watatu kulia), Meneja Mradi wa Upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba wakitoa maelezo mara walipoingia kwenye sehemu ya abiria ya jengo jipya la kiwanja hicho.
Meneja wa kiwanja hicho, Bw. Julius Mulungwana (Kulia) akifafanua jambo kwa Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri (Wapili kulia). Wanaoshuhudia ni Meneja Mradi wa Upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba, Mhandisi Suleiman Athuman (Wapili kushoto) na Mhandisi Mshauri wa ujenzi wa kiwanja hiko, Mhandisi Pius Gobolo (Kushoto).
Hadi kuleeee.. Meneja wa kiwanja hicho, Bw. Julius Mulungwana (Mbele) akimuonesha Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri (Kulia) sehemu inayopendekezwa kwa ajili ya upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba. Picha na Saidi Mkabakuli-Ofisi ya Rais,Tume ya Mipango
---
Na Saidi Mkabakuli, Kagera
Mkoa wa Kagera na maeneo ya jirani wataanza kujivunia uwanja wa ndege wa kisasa kufuatia kukamilika kwa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba.

Post a Comment

Previous Post Next Post