Mtu Mmoja Raia wa Sierra Leone Ambaye
jina lake halikupatikana kwa haraka amefariki dunia baada ya kupigwa
risasi kadhaa na Askari Magereza wa Mahakama ya Kisutu , Inasemekana mtu
huyo alikuwa ni mahabusu ambae alikuwa amefikishwa mahakamani hapo kwa
kosa la Kukamatwa na Madawa ya Kulevya aina ya Heroin yenye thamani ya
shilingi Mil 61 , Muda tu baada ya kufikishwa mahakamani hapo
aliwatoroka Askari waliomsindikiza chooni kujisaidia na kuparamia fensi
ya mahakamani ili kukimbia lakini kwa bahati mbaya askari waliona mchezo
mzima na kummiminia Risasi zilizosababisha mauti yake.
Polisi Magereza Wamtungua Risasi ya Kichwa Jambazi Lililojaribu Kutoroka Mahakama
Hisia
0
Post a Comment