'Wajiuza’ kwa kukosa mikopo ya elimu

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjaHIRlGrMbXLZ3us1eiloWn-5qz4KiAECdPtxytzupcAXvaqKSsE-j6aqy6XLC-3X9B6SJQNeRBf0RDe7ZfoXgzWNwm0qWXjHHGW-hMGnfYJZxXVrphsjMFB3zN-7yl9w9fR5LE2xytv1c/s1600/296747_153259154812773_1500264603_n.jpgMoja ya mambo yaliyoubadili mkoa wa Dodoma hasa eneo la mjini ni kuongezeka kwa idadi ya taasisi za elimu ya juu. Ndiyo kusema Dodoma sasa ina wakazi wengi wakiwamo wanafunzi wanaoelezwa kuwa kwa kiasi kikubwa wamebadili hali ya maisha katika mkoa huo

Post a Comment

Previous Post Next Post