Haya Ndiyo Majina Ya Uhamisho kwa Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa January 2015.

Uhamisho kwa Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa January 2015.

Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI inatangaza orodha ya Majina 4352 ya watumishi wa Umma waliohamishwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini Januari 2015. Aidha orodha ya watumishi 96 ambao hawakukidhi vigezo vya kuhama nayo imetangazwa.
Maelekezo yote muhimu yapo katika barua ambayo kila mtumishi atapatiwa kupitia kwa Wakurugenzi wa Mamlaka wanazotoka.

Post a Comment

Previous Post Next Post