Mwanadada matata Zarina Hassan
'Zarithebosslady', ametupia neno la kumtakia kila kheri mpenzi wake
Diamond Platnumz katika shoo yake ya leo usiku. Takriban dakika 45
zilizopita, Zari ametupia kwenye akaunti yake ya Intagram maneno
yasemayo: Usiku huu nakutakia kila la kheri, nipo pamoja nawe kiroho...mahabbat hayo, lol!
HUU NDIO UJUMBE ALIOUTUMA ZARI KWENDA KWA DIAMOND INSTAGRAM - USIKU HUU
Hisia
0
Tags
ENTERTAINMENT
Post a Comment