JKU Yatinga Fainal kwa kuifunga Yanga katika Mchezo wa Robo Fainal uliofanyika Usiku huu Amaan

 Kikosi cha timu ya JKU kikipasha misuliu kabla ya mchezo wao wa Robo Fainal na timu ya Yanga kuaza na kuibuka mshindi kwa kuifunga Yanga bao moja katika kipindi cha pili cha mchezo kupitia mshambuliaji wake Amour Janja.






Post a Comment

أحدث أقدم