Kamati Kuu ya CCM Yakutana Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Dk. Jakaya Kikwete.


Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndg. Vuai Ali Vuai, (katikati) Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abrahaman Kinana.alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Zanzibar kuhudhuria Mkutano wa Kamati Kuu ya CCM uliofanyika Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake DK Jakaya Mrisho Kikwete.    
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduz, Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Zanzibar kuhudhuria Kikao cha Kawaida cha Kamati Kuu ya CCM, akiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abrahamani Kinana 




WAJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM, wakimsikiliza Mhe Salim Ahmeid Salim akizungumza na Mhe Shamsi Vuai Nahodha na kulia Mhe Samia Suluhu Hassan, wakibadilishana mawazo kabla ya kuaza kwa kikao hicho kilichofanyika Afisi Kuu ya CCM Zanzibar.

















Post a Comment

Previous Post Next Post