- kuikosa Chelsea nusu fainali ya Capital One
Liverpool itamkosa kiungo wa kimataifa wa England Adam Lallana kwa mwezi mzima ujao baada ya kuumia mguu.
Nyota
huyo mwenye umri wa miaka 26, alianza kuonyesha kile kilichofanya
Liverpool imnunue kwa pauni milioni 25 kutoka Southampton dirisha la
kiangazi.
Lallana
aling’ara na kufunga katika mechi ya ushindi wa 4-1 Jumatatu iliyopita
na akaanza katika mchezo wake wa sita mfululizo wa mechi za kimashindano
siku ya Mwaka Mpya dhidi ya Leicester kwenye dimba Anfield.
Hata hivyo Lallana alitolewa dakika ya 55 baada ya kuumia mguu na sasa atakuwa nje ya dimba kwa wiki nne.
Miongoni
mwa mechi atakazokosa ni pamoja na mechi mbili za nusu fainali ya
Capital One Cup dhidi ya Chelsea (nyumbani na ugenini),
Post a Comment