Papa Francis ateua makadinali wapya 20

KIONGOZI wa kanisa katoliki, Papa  Francis ameteua makadinali wapya 20.
Makadinali hao wametoka maeneo tofauti duniani wakiwamo kutoka nchi za Tonga, Ethiopia na Myanmar.
Kumi na tano katyi ya hao wapya wapo chini ya miaka 80 ikimaananisha kwamba wao watakuwa katika nafasi ya mmoja wao kuchaguliwa kuwa papa.
Kiongozi huyo amesema uteuzi huo kutoka nchi 14  kutoka kila bara unaonesha uhusiano wa karibu uliopo kati ya Vatican  na  kanisa katoliki duniani.
Makadinali hao watasimikwa Februari 14 mwaka huu.
Aidha papa amesema kwamba ataongoza mkutano wa makadinali wote Februari 12 na 13 mabadiliko katika undeshaji wa utawala Vatican.
Makadinali wapya ni hawa hapa
  • Archbishop Dominique Mamberti (France)
  • Archbishop Manuel Jose Macario do Nascimento Clemente (Portugal)
  • Archbishop Berhaneyesus Demerew Souraphiel (Ethiopia)
  • Archbishop John Atcherley Dew (New Zealand)
  • Archbishop Edoardo Menichelli (Italy)
  • Archbishop Pierre Nguyen Van Nhon (Vietnam)
  • Archbishop Alberto Suarez Inda (Mexico)
  • Archbishop Charles Maung Bo (Myanmar)
  • Archbishop Francis Xavier Kriengsak Kovithavanij (Thailand)
  • Archbishop Francesco Montenegro (Italy).
  • Archbishop Daniel Fernando Sturla Berhouet (Uruguay)
  • Archbishop Ricardo Blazquez Perez (Spain).
  • Bishop Jose Luis Lacunza Maestrojuan (Panama)
  • Bishop Arlindo Gomes Furtado, (Capo Verde).
  • Bishop Soane Patita Paini Mafia (Tonga)
  • Archbishop emeritus Jose de Jesus Pimiento Rodríguez (Colombia)*
  • Titular Archbishop Luigi De Magistris (Italy)*
  • Titular Archbishop Karl-Joseph Rauber (Germany)*
  • Archbishop emeritus Luis Hector Villalba (Argentina)*
  • Bishop emeritus Julio Duarte Langa (Mozambique)*
* Cardinal emeritus, without voting rights

Post a Comment

أحدث أقدم