Aunty Lulu Awaendea Kwa Mganga wa Kienyeji Wabaya Wake Wanaomfanyia Mambo Mabwana zake Wayeyuke

MWIGIZAJI asiyekaukiwa matukio Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu’ amefunguka kuwa amekwenda kwa mganga (babu) Mtwara kwa ajili ya kuweka zindiko wabaya wake wasimsumbue.
Akipiga stori na mwanahabari wetu, Aunty Lulu alisema kuna wabaya wake wamekuwa..
wakimfanyia ‘mambo’ mabwana zake wayeyuke hivyo hayupo tayari kuona nyota yake inafifia.
“Nimeona bora nikarekebishe kidogo maana mjini kila kukicha watu wanakutafuta na kukuharibia mambo yako, niko fiti sasa,” alisema Aunty Lulu.

Post a Comment

Previous Post Next Post