NEWS: CHEMBA SQUAD yampoteza msanii wao mwingine MEZ B

Msanii Moses Bushagama aka Mez B aliyewahi kung’ara na ngoma ya #KamaVipi aliyompa collabo mwanadada RAY C na kutesana na nyimbo zake kibao,  amefariki dunia muda mfupi uliopita huko mjini Dodoma nyumbani mama yake mzazi. Taarifa zinasema alikuwa anaumwa sana ingawa DJChokaMusic haikuweza kujua kwa haraka alikuwa anasumbuliwa na nini kutokana na mama yake kuonge kwa shida wakati tukizungumza nae.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi! – Taarifa zaidi zitakujia kadri tutakavyozipokea!

HIZI NI BAADHI ZA VIDEO ALIZOKUWA AMEZIFANYA MAREHEMU MEZ B



Post a Comment

Previous Post Next Post