Wema Awashukia wanaosema wanachukia wakati wanapeleleza anachokiweka mtandaoni!!

Wema Awashukia wanaosema wanachukia wakati wanapeleleza anachokiweka mtandaoni!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu ambae kwasasa amekuja kivingine na mwingine, Wema Sepetu amewatolea uvivu baadhi ya watu wanaosema hawa mpendi na kumchukia lakini bado wanapeleleza na kumfualitia kila anachokiweka mtandao, na kutumia akaunti feki kumchafua kwa maneno machafu....amewaita jina baya na kuwambia wanatamani kuwa kwenye matawi yake....
Nadhani ujumbe umefika!!!

Post a Comment

أحدث أقدم