"Kajala ni rafiki MBAYA Kuliko Wote Duniani, NAJUTA kumsaidia" - Wema Sepetu

Hatimaye  Wema Sepetu   kaamua kufunguka kuhusu  Ugomvi  Wake  na  Kajala.  Yaani kamwaga ubuyu wote! kaongeaaaaaaaaa mpaka mwisho.
 
Amedai Kajala ni  miongoni  mwa  marafiki wabaya aliowahi  kuwa  nao  na kasema anajuta  sana kumsaidia Kajala,ile kumlipia kumtoa jela anasema anaregret vibaya sana.
 
Msikilize mwenyewe akiongea

Post a Comment

أحدث أقدم