LUGE MUTAHABA FEKI AKAMATWA AKIWATAPELI WATU MBALIMBALI SOMA HAPA

Huyu kijana amekamatwa leo Clouds, kwa kosa la kutapeli watu mbalimbali kwa kutumia majina ya wafanyakazi wa Clouds akiwemo Ruge Mutahaba na kujifanya yeye ndio kiongozi wa idara ya muziki ya Clouds fm na kuwatapeli wasanii chipukizi kwa kuomba rushwa ya hela ili nyimbo zao zichezwe redioni-Credit Musike Corner  Blog

Post a Comment

أحدث أقدم