Msanii wa kike nchini anayejulikana kwa
jina la Baby Madaha usiku wa kuamki leo tarehe 11 March wakati anahojiwa
na kipindi cha GENGE, amekanusha uvumi unaoendelea kwa watu fulani
kumuhisi kama yeye MSAGAJI.
Madaha alikuja studio za E FM 93.7 huku
ameongozana na rafiki yake BELLA, swali likaja kwanini Baby Madaha yupo
karibu sana na msanii mwenzake Bella..? jibu likawa ya kwamba watu wengi
hawamjui mpenzi wa Baby Madaha na ndio maana wanamuhisi kuwa yeye na
Bella wanasaga.
Itizame hapa chini video fupi niliyowachukulia wadau wangu…

إرسال تعليق