Hii Ndio surprise kutoka kwa Kanye West.. Cheki PICHAZ na VIDEO..

Kanye West ni rapper ambae ana story nyingi za aina ya pekeake, unakumbuka ile story yake kugoma kabisa kutabasamu mbele ya camera za red carpet?
Safari hii kapiga show Armenia, kwanza show yenyewe ilikuwa ya bure kabisa..
Jamaa akapiga show yake kali kabisa.. show ikanoga akajitupa kwenye maji ya ziwa huku anaendelea kuimba.. fans nao wakajitosa kwenye maji kumfuata.. Police na walinzi wake ilibidi nao waingine ili kumtoa jamaa na kuhakikisha usalama wake.

Post a Comment

أحدث أقدم