Funguka! Sexy lady kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael
‘Lulu’ amefunguka kuwa anapenda kuminya ‘ku-date’ na wanaume
wanaomzidi umri kwa sababu wanakuwa na nafasi nyingi katika maisha yake.
Elizabeth Michael ‘Lulu’
Akizungumza runingani juzikati, Lulu alisema anapenda kuwa na wanaume
wanaomzidi kwa sababu wana nafasi tatu katika maisha yake ya kawaida,
wanakuwa kama kaka, baba na mpenzi.
“Siwezi kuwa na mwanaume ambaye tunalingana kwa sababu atakuwa hana sifa hizo,” alisema Lulu.
إرسال تعليق