Haya Ndio Magari ya kifahari yaliyotengenezwa Afrika? Nina Picha zake saba hapa..

150629164316_kantanka_640x360_bbc_nocredit
Ukipita barabarani ni kawaida utakutana na majina ya magari yaliyozoeleka kama Toyota, BMW, Benz, Scania, Suzuki, Honda… Hayo yote ni magari ambayo viwanda vyake viko nje ya Africa.
Lakini ninayo good news kwamba huenda tukakutana na brand za magari yanayozalishwa hapahapa Afrika na ni magari ya kifahari kabisa ambayo unaweza kufananisha na Benz na BMW!
Gari hii imetengenezwa Ghana, inaitwa Kantanka 4×4.. pichaz zake kuanzia inavyoanza kutengenezwa mpaka ilivyokamilika ziko hapa.
150629164416_kantanka_640x360_bbc_nocredit
150629164510_kantanka_640x360_bbc_nocredit
150629164138_kantanka_640x360_bbc_nocredit
150629164230_kantanka_640x360_bbc_nocredit
_83931119_83931118
Kan

Post a Comment

أحدث أقدم