MAGUFULI NA LOWASA WACHUKUWA FOMU ZA KUGOMBEA KITI CHA URAIS CCM DODOMA HII LEO

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, akiwa anatabasamu mara baada ya kuchukuwa fomu ya kugombea urais katika ofisi za ccm mkoani Dodoma hii leo
Waziri mstaafu Edward Lowasa akiwa anaongea na vyombo vya habari mara baada ya kuchukuwa fomu ya kugombea  kiti  cha urais

Post a Comment

Previous Post Next Post