Mmoja katika wanafunzi walioshiriki mashindano ya kuhifadhi Qur'aan juzuu 30
Miongoni mwa wanafunzi walishiriki katika mashindano ya kuhifadhi Qur'aan wakisubiri muda wao kwenda kutahiniwa
Mshindi ni AbdulSwamad Abdallah Ali kutoka zanzibar amepata asilimia 100% akikabidhiwa zawadi yake na Al Akh Mohammed Suleiman
Picha kwa hisani ya V Achudi kupitia ukurasa wa Facebook
إرسال تعليق