Humphrey Polepole Aandika Makala Nzito Isemayo "CCM, UKAWA NA KUNG’OA MFUMO WA KIFISADI NCHINI " SOMA HAPA

 
Wananchi wengi tunakubalina kuwa adui mkubwa wa Tanzania kwa sasa ni  ufisadi ambao ndio umekuwa chanzo kikubwa cha utajirisho wa  watu wachache  na huku ukistawisha umaskini kwa wananchi walio wengi. Baadhi ya wananchi wamekuwa na mawazo kuwa hatuwezi kupambana na ufisadi bila ya kwanza kuiondoa CCM madarakani kwani kwa maoni yao CCM ndio mfumo wenyewe wa kifisadi.  Lengo langu leo ni kutaka tutafakari usahihi wa dhana hii katika uhalisia wake ili itusaidie kuchukua hatua sahihi katika kuung’oa mfumo wa kifisadi nchini. 

Post a Comment

Previous Post Next Post