Mgombea
urais wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa amesema
akichaguliwa kuwa rais wa Awamu ya Tano, ataunda tume tatu ikiwamo ya
kuchunguza upya sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili ambalo
utekelezaji wake ulilalamikiwa na wananchi.
Akizungumza
katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi
Kashaulili mjini Mpanda mkoani hapa, Lowassa alitaja SOMA ZAIDI HAPA
إرسال تعليق