Mama Samia Suluhu avamia Geita na kupokelewa na Maelfu

Siku ya Jana Tarehe 12 October 2015 Mgombea mwenza Kutoka Chama Cha Mapinduzi CCM. Mama Samia Salum Suluhu alitembelea Geita Mjini na kuapata mapokezi ya kimapinduzi. Wanachama wa vyama vya Upinzani wamemkabidhi kadi za vyama vyao na kujiunga na CCM.
 










Post a Comment

أحدث أقدم