RAIS wa
Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania Mhe John Magufuli, mapema leo hii
ameungana na watanzaia katika kufanya usafi katika maeneo mbalimbali
nchini,ambapo yeye na timu yake walianza usafi katika maeneo ya feri
karibu na Ikulu.
Huku waziri Mkuu ,Mhe Kassimu Majaliwa akisafisha maeneo ya soko la
Kariakoo.
PICHA KWA HISANI YA BBC
Post a Comment